Wagalatia 6:3-5
Wagalatia 6:3-5 SWC02
Kama mutu akijizania kwamba yeye ni kitu, ijapokuwa yeye si kitu, anajidanganya yeye mwenyewe. Kila mutu achunguze mwenendo wake mwenyewe. Basi akiwa na sababu ya kujivuna, ajivune kufuatana na mwenendo wake mwenyewe pasipo kujilinganisha na mutu mwingine. Kwa maana kila mutu anapaswa kubeba muzigo wake mwenyewe.





