YouVersion Logo
Search Icon

Ezekieli 37:7-8

Ezekieli 37:7-8 SWC02

Basi, nikatoa unabii kama nilivyoamriwa. Nilipokuwa nikitoa unabii, kukatokea kelele kama ya mukwaruzo na ile mifupa ikaanza kusogeleana na kuungana. Niliangalia, nikaona ile mifupa imewekewa mishipa na nyama na kufunikwa kwa ngozi. Lakini haikukuwa na uzima.

Free Reading Plans and Devotionals related to Ezekieli 37:7-8