YouVersion Logo
Search Icon

Ezekieli 2:2-3

Ezekieli 2:2-3 SWC02

Alipokuwa akisema nami, Roho wa Mungu akaniingia na kunisimamisha wima. Halafu nikamusikia akiniambia hivi: Wewe mwanadamu ninakutuma kwa Waisraeli, taifa la waasi ambao wameniasi. Wameendelea kunikosea mimi mpaka leo sawa vile babu zao walivyofanya.

Free Reading Plans and Devotionals related to Ezekieli 2:2-3