YouVersion Logo
Search Icon

Kutoka 8:18-19

Kutoka 8:18-19 SWC02

Lakini siku hiyo sehemu ya Goseni watu wangu wanakoishi nitaikinga. Kule mainzi wale hawatakuwa. Kwa hiyo utatambua kwamba mimi Yawe ninatenda mambo katika inchi yako. Nitakinga watu wangu na mambo yatakayowapata watu wako. Mambo hayo yatafanyika kesho.’ ”