YouVersion Logo
Search Icon

Kutoka 5:8-9

Kutoka 5:8-9 SWC02

Lakini hesabu ya matofali yanayotengenezwa kila siku ikuwe ileile, wala kusipunguke hata tofali moja, kwa sababu watu hawa ni wavivu ndio maana wanapiga kelele na kusema: ‘Utuache tuende kutoa sadaka kwa Mungu wetu.’ Muwazidishie watu hawa kazi ngumu kusudi watoke jasho na kuacha kusema maneno ya uongo.”

Free Reading Plans and Devotionals related to Kutoka 5:8-9