Muhubiri 4:9-10
Muhubiri 4:9-10 SWC02
Ni afazali kuwa wawili kuliko mutu kuwa peke yake. Kwa sababu wawili watapata matunda ya jasho yao. Na mumoja akianguka, huyo mwenzake atamusimamisha. Lakini ole wake mutu anayekuwa peke yake akianguka! Huyo hatakuwa na mutu wa kumusimamisha!







