Muhubiri 3:2-3
Muhubiri 3:2-3 SWC02
wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa, wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna kilichopandwa, wakati wa kuua na wakati wa kuponyesha, wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga
wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa, wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna kilichopandwa, wakati wa kuua na wakati wa kuponyesha, wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga