YouVersion Logo
Search Icon

Muhubiri 2:24-25

Muhubiri 2:24-25 SWC02

Hakuna kitu kizuri kwa mwanadamu, isipokuwa kula na kunywa na kufurahia matunda ya jasho yake. Hili nalo nimeliona kwamba linatoka kwa Mungu, maana usipojaliwa na Mungu, hauwezi kupata chakula wala kujifurahisha.