Kumbukumbu la Sheria 8:12-14
Kumbukumbu la Sheria 8:12-14 SWC02
Mukisha kula na kushiba, kujijengea nyumba nzuri na kuishi humo, na wakati ambapo ngombe na kondoo wenu, zahabu na feza yenu, na kila kitu munachokuwa nacho kitakuwa kimeongezeka, musikuwe na kiburi na kumusahau Yawe, Mungu wenu, aliyewatoa katika inchi ya Misri, pahali mulipokuwa watumwa.





