YouVersion Logo
Search Icon

Kumbukumbu la Sheria 5:13-14

Kumbukumbu la Sheria 5:13-14 SWC02

Siku sita fanya kazi na tenda mambo yako yote. Lakini siku ya saba ni Sabato ya Yawe, Mungu wako. Siku hiyo usifanye kazi yoyote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mutumwa wako, wala mujakazi wako, wala ngombe wako, wala punda wako, wala nyama wako yeyote, wala mugeni anayekuwa katika nyumba yako, kusudi mutumwa wako na mujakazi wako wapate kupumzika vilevile kama vile wewe.