YouVersion Logo
Search Icon

Kumbukumbu la Sheria 34:9

Kumbukumbu la Sheria 34:9 SWC02

Yoshua mwana wa Nuni akajaa roho ya hekima, kwa sababu Musa alikuwa amemuwekea mikono yake. Hivyo Waisraeli wakamutii Yoshua na kufuata amri ambazo Yawe alimupa Musa.

Video for Kumbukumbu la Sheria 34:9