YouVersion Logo
Search Icon

Kumbukumbu la Sheria 30:17-18

Kumbukumbu la Sheria 30:17-18 SWC02

Lakini mukipotoshwa na kukataa kumusikiliza, mukivutwa kuabudu miungu mingine na kuitumikia, mimi ninawatangazia leo hii kwamba mutaangamia. Hamutaishi kwa muda murefu katika inchi munayokwenda kurizi, ngambo ya muto Yordani.

Free Reading Plans and Devotionals related to Kumbukumbu la Sheria 30:17-18