YouVersion Logo
Search Icon

Kumbukumbu la Sheria 13:1-3

Kumbukumbu la Sheria 13:1-3 SWC02

“Kila kitu ambacho nimewaamuru, mufanye angalisho mukitende; musiongeze kitu wala musipunguze kitu. “Kukitokea nabii au mutabiri wa kutumia ndoto kati yenu na kuwapatia kitambulisho au ajabu fulani, kisha neno, vitambulisho au maajabu aliyowaambia yakitokea, na akisema: ‘Tufuate miungu mingine, miungu ambayo hamujapata kuijua, na tuitumikie’

Free Reading Plans and Devotionals related to Kumbukumbu la Sheria 13:1-3