Kumbukumbu la Sheria 11:26-28
Kumbukumbu la Sheria 11:26-28 SWC02
“Leo hii ninawawekea mbele yenu baraka na laana: baraka, kama mutatii amri za Yawe, Mungu wenu, ambazo ninawapa hivi leo; na laana, kama hamutatii amri za Yawe, Mungu wenu, na kuacha njia ninayowaamuru, mukiabudu miungu mingine ambayo hata hamujajua bado.





