Kumbukumbu la Sheria 10:12-13
Kumbukumbu la Sheria 10:12-13 SWC02
“Sasa, enyi Waisraeli, Yawe, Mungu wenu, anataka nini kwenu? Yawe, Mungu wenu, anataka mumwogope, mufuate njia zake zote, mumupende, mumutumikie Yawe, Mungu wenu, kwa moyo wote na kwa roho yenu yote, na mutii amri na masharti ya Yawe ninayowawekea leo, kwa mafaa yenu wenyewe.





