Danieli 5:25-28
Danieli 5:25-28 SWC02
Maandiko yenyewe ni: MENE, MENE, TEKELI, PERESI. Na hii ndiyo maana yake. MENE: Mungu amehesabu siku za ufalme wako na kuukomesha. TEKELI: wewe umepimwa kwenye mizani, nawe ukaonekana hauna uzito wowote. PERESI: ufalme wako umegawanywa kati ya Wamedi na Wapersi.





