YouVersion Logo
Search Icon

Matendo ya Mitume 26:17-18

Matendo ya Mitume 26:17-18 SWC02

Nitakuokoa toka mikono ya taifa lako la Waisraeli na ya watu wa mataifa mengine. Ninakutuma kwao kusudi ufungue macho yao, ukiwaongoza watoke katika giza na kuwaingiza katika mwangaza. Watatoka chini ya uwezo wa Shetani na kumugeukia Mungu, kusudi kwa njia ya kuniamini wapate kusamehewa zambi zao na kupewa urizi pamoja na watu wake watakatifu.’

Free Reading Plans and Devotionals related to Matendo ya Mitume 26:17-18