Matendo ya Mitume 19:11-12
Matendo ya Mitume 19:11-12 SWC02
Mungu akaendelea kufanya miujiza ya ajabu kwa njia ya Paulo. Na hata watu walitwaa vitambaa na nguo zilizogusa mwili wa Paulo, wakazipeleka kwa wagonjwa, nao wakapona na pepo wakatoka ndani yao.



![[Acts Inspiration For Transformation Series] The Unstoppable Force Of The Gospel Matendo ya Mitume 19:11-12 BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapi.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans%2F15126%2F1440x810.jpg&w=3840&q=75)

