YouVersion Logo
Search Icon

Matendo ya Mitume 13:2-3

Matendo ya Mitume 13:2-3 SWC02

Siku moja walipokuwa wakifanya ibada, wakiwa wamefunga kula chakula, Roho Mutakatifu akasema: “Muwasimike Barnaba na Saulo kwa kazi ile niliyowachagulia.” Basi wakafunga tena kula chakula na kuomba. Kisha wakaweka mikono juu yao na kuwatuma waende safari.

Free Reading Plans and Devotionals related to Matendo ya Mitume 13:2-3