YouVersion Logo
Search Icon

2 Petro 2:21-22

2 Petro 2:21-22 SWC02

Maana ingekuwa heri kwao kama wasingejua njia ya haki, kuliko kuijua na kisha kuacha ile amri takatifu waliyopewa. Kile kitu walichofanya kinaonyesha wazi mufano unaosema: “Imbwa amerudilia kula matapiko yake,” na: “Nguruwe aliyesafishwa amerudia tena kugaagaa katika matope!”

Free Reading Plans and Devotionals related to 2 Petro 2:21-22