YouVersion Logo
Search Icon

2 Wakorinto 1:6

2 Wakorinto 1:6 SWC02

Kama sisi tunapata taabu ni kusudi mupate kufarijiwa na kuokolewa. Kama tunafarijiwa ninyi vilevile munafarijiwa na kupata nguvu ya kuwawezesha kuvumilia taabu ile ile tunayopata.