YouVersion Logo
Search Icon

1 Samweli 18:7-8

1 Samweli 18:7-8 SWC02

Vilevile walikuwa wanacheza na kuimba nyimbo za kuitikiana hivi: “Saulo ameua maelfu yake, na Daudi ameua elfu yake makumi.” Saulo hakupendezwa na maneno ya wimbo huo. Akakasirika sana. Akasema: “Wamemupa Daudi elfu makumi, lakini mimi wamenipa maelfu tu. Linalobakia ni kumupa Daudi ufalme.”

Free Reading Plans and Devotionals related to 1 Samweli 18:7-8