1 Wakorinto 15:21-22
1 Wakorinto 15:21-22 SWC02
Kwa maana, kama vile kifo kililetwa na mutu mumoja, vilevile ufufuko wa wafu unaletwa na mutu mumoja. Kama vile watu wote wanavyokufa kwa sababu ya kuungana kwao na Adamu, vilevile wote wataishi tena kwa sababu ya kuungana kwao na Kristo.





