1 Wakorinto 12:17-19
1 Wakorinto 12:17-19 SWC02
Kama mwili wote ungekuwa jicho, namna gani ungeweza kusikia? Na kama ungekuwa sikio, namna gani ungeweza kunusa? Lakini sasa, Mungu amepanga viungo vya mwili kila kimoja kama ilivyomupendeza. Kama vyote vingekuwa kiungo kimoja, mwili haungekuwa!





