1 Wakorinto 11:28-29
1 Wakorinto 11:28-29 SWC02
Basi kila mutu ajichunguze mwenyewe na kisha akule mukate huu na kunywa kikombe hiki. Kwa maana mutu akikula mukate na kunywa kikombe pasipo kutambua maana ya mwili wa Bwana, anajiletea azabu yeye mwenyewe kwa kula na kunywa.





