YouVersion Logo
Search Icon

Warumi 4:18

Warumi 4:18 TKU

Halikuwepo tumaini kwamba Abrahamu angepata watoto, lakini alimwamini Mungu na akaendelea kutumaini. Na ndiyo sababu akafanyika kuwa baba wa mataifa mengi. Kama Mungu alivyomwambia kuwa, “Utakuwa na wazaliwa wengi.”

Free Reading Plans and Devotionals related to Warumi 4:18