YouVersion Logo
Search Icon

Yohana 13:4-5

Yohana 13:4-5 TKU

Kwa hiyo walipokuwa wakila, Yesu alisimama na kulivua vazi lake. Akachukua taulo na kuifunga kiunoni mwake. Kisha akamimina maji katika bakuli na kuanza kuwaosha miguu wafuasi wake. Kisha akaifuta miguu yao kwa taulo aliolifunga kiunoni mwake.

Free Reading Plans and Devotionals related to Yohana 13:4-5