YouVersion Logo
Search Icon

Habakuki 1:4

Habakuki 1:4 SRUV

Kwa sababu hiyo sheria imelegea, wala hukumu haipatikani; kwa maana watu wabaya huwazunguka wenye haki; kwa sababu hiyo hukumu inayotolewa huwa imepotoshwa.

Video for Habakuki 1:4