YouVersion Logo
Search Icon

1 Samweli 20:42

1 Samweli 20:42 SRUV

Naye Yonathani akamwambia Daudi, Nenda kwa amani; kwa maana sisi sote wawili tumeapiana kwa jina la BWANA ya kwamba, BWANA atakuwa kati ya mimi na wewe, na kati ya uzao wangu na uzao wako milele. Daudi akaondoka, akaenda zake; Yonathani naye akaenda zake mjini.

Free Reading Plans and Devotionals related to 1 Samweli 20:42