YouVersion Logo
Search Icon

Wafilipi 2:9-11

Wafilipi 2:9-11 SRUVDC

Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba.

Free Reading Plans and Devotionals related to Wafilipi 2:9-11