YouVersion Logo
Search Icon

Mathayo 24:9-11

Mathayo 24:9-11 SRUVDC

Wakati huo watawasaliti ninyi mpate dhiki, nao watawaua; nanyi mtakuwa watu wa kuchukiwa na mataifa yote kwa ajili ya jina langu. Ndipo wengi watakapojikwaa, nao watasalitiana, na kuchukiana. Na manabii wengi wa uongo watatokea, na kudanganya wengi.

Free Reading Plans and Devotionals related to Mathayo 24:9-11