Bible App logo
Search Icon

Mwanzo 18:23-24

Mwanzo 18:23-24 SRUVDC

Abrahamu akakaribia, akasema, Je! Utaharibu mwenye haki pamoja na mwovu? Huenda wakawapo wenye haki hamsini katika mji, utaharibu, wala hutauacha mji kwa ajili ya hao hamsini wenye haki waliomo?

Free Reading Plans and Devotionals related to Mwanzo 18:23-24