Bible App logo
Search Icon

2 Wathesalonike 1:6-7

2 Wathesalonike 1:6-7 SRUVDC

Kwa kuwa ni haki mbele za Mungu kuwalipa mateso wale wawatesao ninyi; na kuwalipa ninyi mteswao raha pamoja na sisi; wakati wa kufunuliwa kwake Bwana Yesu kutoka mbinguni pamoja na malaika wa uweza wake,