YouVersion Logo
Search Icon

Mk 8:22, 23, 24, 25, 26, 27, 28, 29, 30, 31, 32, 33, 34, 35, 36, 37

Mk 8:22 SUV

Wakafika Bethsaida, wakamletea kipofu, wakamsihi amguse.

Mk 8:24 SUV

Akatazama juu, akasema, Naona watu kama miti, inakwenda.

Mk 8:26 SUV

Akampeleka nyumbani kwake, akisema, Hata kijijini usiingie.

Mk 8:28 SUV

Wakamjibu, Yohana Mbatizaji; wengine, Eliya; wengine, Mmojawapo wa manabii.

Mk 8:30 SUV

Akawaonya wasimwambie mtu habari zake.

Mk 8:32 SUV

Naye alikuwa akinena neno hilo waziwazi. Petro akamchukua, akaanza kumkemea.

Mk 8:36 SUV

Kwa kuwa itamfaidia mtu nini kuupata ulimwengu wote, akipata hasara ya nafsi yake?

Mk 8:37 SUV

Ama mtu atoe nini badala ya nafsi yake?

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy