YouVersion Logo
Search Icon

Mk 6:1, 2, 3, 4, 5, 7, 8, 9, 10, 11, 12, 13, 14, 15, 16, 17, 18, 19, 20, 21, 22, 23, 24, 25, 26, 27, 28, 29

Mk 6:1 SUV

Akatoka huko, akafika mpaka nchi ya kwao; wanafunzi wake wakamfuata.

Mk 6:7 SUV

Akawaita wale Thenashara, akaanza kuwatuma wawili wawili, akawapa amri juu ya pepo wachafu

Mk 6:9 SUV

lakini wajifungie viatu; akasema, Msivae kanzu mbili.

Mk 6:10 SUV

Akawaambia, Mahali po pote mtakapoingia katika nyumba, kaeni humo hata mtakapotoka mahali pale.

Mk 6:12 SUV

Wakatoka, wakahubiri kwamba watu watubu.

Mk 6:13 SUV

Wakatoa pepo wengi, wakapaka mafuta watu wengi waliokuwa wagonjwa, wakawapoza.

Mk 6:15 SUV

Wengine walisema, Ni Eliya. Wengine walisema, Huyu ni nabii, au ni kama mmoja wa manabii.

Mk 6:16 SUV

Lakini Herode aliposikia, alisema, Yohana, niliyemkata kichwa, amefufuka.

Mk 6:18 SUV

kwa sababu Yohana alimwambia Herode, Si halali kwako kuwa na mke wa nduguyo.

Mk 6:19 SUV

Naye yule Herodia akawa akimvizia, akataka kumwua, asipate.

Mk 6:23 SUV

Akamwapia, Lo lote utakaloniomba nitakupa, hata nusu ya ufalme wangu.

Mk 6:24 SUV

Basi akatoka, akamwuliza mamaye, Niombe nini? Naye akasema, Kichwa cha Yohana Mbatizaji.

Mk 6:28 SUV

akakileta kichwa chake katika kombe, akampa yule kijana, naye yule kijana akampa mamaye.

Mk 6:29 SUV

Wanafunzi wake waliposikia habari, walikwenda, wakauchukua mwili wake, wakauzika kaburini.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy