YouVersion Logo
Search Icon

Mk 3:13, 14, 15, 16, 17, 18, 19, 20, 21, 22, 23, 24, 25, 26, 27, 28, 29, 30, 31, 32, 33, 34, 35

Mk 3:13 SUV

Akapanda mlimani, akawaita aliowataka mwenyewe; wakamwendea.

Mk 3:14 SUV

Akaweka watu kumi na wawili, wapate kuwa pamoja naye, na kwamba awatume kuhubiri

Mk 3:15 SUV

tena wawe na amri ya kutoa pepo.

Mk 3:16 SUV

Akawaweka wale Thenashara; na Simoni akampa jina la Petro

Mk 3:19 SUV

na Yuda Iskariote, ndiye aliyemsaliti. Kisha akaingia nyumbani.

Mk 3:20 SUV

Mkutano wakakusanyika tena, hata wao wenyewe wasiweze hata kula mkate.

Mk 3:21 SUV

Jamaa zake walipopata habari wakatoka kwenda kumkamata; maana walisema, Amerukwa na akili.

Mk 3:23 SUV

Akawaita, akawaambia kwa mifano, Awezaje Shetani kumtoa Shetani?

Mk 3:24 SUV

Na ufalme ukifitinika juu ya nafsi yake, ufalme huo hauwezi kusimama

Mk 3:25 SUV

na nyumba ikifitinika juu ya nafsi yake, nyumba hiyo haiwezi kusimama.

Mk 3:26 SUV

Na kama Shetani ameondoka juu ya nafsi yake, akafitinika, hawezi kusimama, bali huwa na kikomo.

Mk 3:28 SUV

Amin, nawaambia, Dhambi zote watasamehewa wanadamu, na kufuru zao watakazokufuru zote

Mk 3:30 SUV

kwa vile walivyosema, Ana pepo mchafu.

Mk 3:31 SUV

Wakaja mamaye na nduguze; wakasimama nje, wakatuma mtu kumwita.

Mk 3:33 SUV

Akawajibu, akisema, Mama yangu na ndugu zangu ni akina nani?

Mk 3:34 SUV

Akawatazama wale walioketi wakimzunguka pande zote, akasema, Tazama, mama yangu na ndugu zangu!

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy