YouVersion Logo
Search Icon

Mk 14:32, 33, 34, 35, 36, 37, 38, 39, 40, 41, 42, 43, 44, 45, 46, 47, 48, 49, 50, 51, 52

Mk 14:33 SUV

Akamtwaa Petro na Yakobo na Yohana pamoja naye, akaanza kufadhaika sana na kuhangaika.

Mk 14:34 SUV

Akawaambia, Roho yangu ina huzuni nyingi kiasi cha kufa; kaeni hapa mkeshe.

Mk 14:35 SUV

Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akiomba ya kuwa, ikiwezekana, saa hiyo imwepuke.

Mk 14:38 SUV

Kesheni mwombe, msije mkaingia majaribuni, roho i radhi ila mwili ni dhaifu.

Mk 14:39 SUV

Akaenda zake tena, akaomba, akisema neno lilo hilo.

Mk 14:40 SUV

Akaja tena akawakuta wamelala, maana macho yao yamekuwa mazito, wala hawakujua la kumjibu.

Mk 14:42 SUV

Ondokeni, twendeni zetu; tazama, yule anayenisaliti amekaribia.

Mk 14:45 SUV

Basi alipokuja, mara akamwendea, akasema, Rabi, akambusu.

Mk 14:46 SUV

Wakanyosha mikono yao wakamkamata.

Mk 14:47 SUV

Na mmoja wao waliokuwapo akafuta upanga, akampiga mtumwa wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio.

Mk 14:50 SUV

Ndipo wakamwacha, wakakimbia wote.

Mk 14:51 SUV

Na kijana mmoja alimfuata, amejitanda mwili wake nguo ya kitani; wakamkamata

Mk 14:52 SUV

naye akaiacha ile nguo ya kitani, akakimbia yu uchi.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy