YouVersion Logo
Search Icon

Mk 14:12, 13, 15, 16, 17, 18, 19, 20, 21, 22, 23, 24, 25, 26, 27, 28, 29, 30, 31

Mk 14:15 SUV

Naye mwenyewe atawaonyesha orofa kubwa, imeandikwa tayari; humo tuandalieni.

Mk 14:16 SUV

Wanafunzi wakatoka, wakaenda mjini, wakaona kama alivyowaambia, wakaiandaa pasaka.

Mk 14:17 SUV

Basi ilipokuwa jioni yuaja pamoja na wale Thenashara.

Mk 14:19 SUV

Wakaanza kuhuzunika, wakamwambia mmoja mmoja, Je! Ni mimi?

Mk 14:20 SUV

Akawaambia, Ni mmoja wa hao Thenashara, ambaye achovya pamoja nami katika kombe.

Mk 14:23 SUV

Akatwaa kikombe, akashukuru, akawapa; wakakinywea wote.

Mk 14:24 SUV

Akawaambia, Hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi.

Mk 14:26 SUV

Nao walipokwisha kuimba walitoka kwenda mlima wa Mizeituni.

Mk 14:28 SUV

Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.

Mk 14:29 SUV

Petro akamwambia, Hata wajapokunguwazwa wote, lakini siyo mimi.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy