Mk 14:1, 2, 3, 4, 5, 6, 7, 8, 9, 10, 11
Mk 14:4 SUV
Palikuwa na watu waliochukizwa katika nafsi zao wakisema, Kwani kupoteza marhamu namna hii?
Mk 14:10 SUV
Yuda Iskariote, yule mmoja katika wale Thenashara, akaenda zake kwa wakuu wa makuhani, apate kumsaliti kwao.
Mk 14:11 SUV
Nao waliposikia walifurahi, wakaahidi kumpa fedha. Akatafuta njia ya kumsaliti wakati wa kufaa.