YouVersion Logo
Search Icon

Mk 14:1, 2, 3, 4, 5, 6, 7, 8, 9, 10, 11

Mk 14:2 SUV

Kwa maana walisema, Isiwe kwa wakati wa sikukuu, isije ikatokea ghasia katika watu.

Mk 14:4 SUV

Palikuwa na watu waliochukizwa katika nafsi zao wakisema, Kwani kupoteza marhamu namna hii?

Mk 14:6 SUV

Yesu akasema, Mwacheni; mbona mnamtaabisha? Amenitendea kazi njema

Mk 14:8 SUV

Ametenda alivyoweza; ametangulia kuupaka mwili wangu marhamu kwa ajili ya maziko.

Mk 14:11 SUV

Nao waliposikia walifurahi, wakaahidi kumpa fedha. Akatafuta njia ya kumsaliti wakati wa kufaa.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy