YouVersion Logo
Search Icon

Mk 12:13, 14, 15, 16, 17, 18, 19, 20, 21, 22, 23, 24, 25, 26, 27, 28, 29, 30, 31, 32, 33, 34

Mk 12:13 SUV

Wakatuma kwake baadhi ya Mafarisayo na Maherodi, ili wamnase kwa maneno.

Mk 12:16 SUV

Wakaileta. Akawaambia, Ni ya nani sanamu hii na anwani hii? Wakamwambia, Ni ya Kaisari.

Mk 12:18 SUV

Kisha Masadukayo, watu wasemao ya kwamba hakuna kiyama, wakamwendea, wakamwuliza na kusema

Mk 12:20 SUV

Basi kulikuwa na ndugu saba, wa kwanza akatwaa mke, akafa, asiache mzao.

Mk 12:21 SUV

Wa pili naye akamtwaa akafa, wala yeye hakuacha mzao. Na wa tatu kadhalika

Mk 12:22 SUV

hata na wote saba, wasiache mzao. Mwisho wa wote yule mwanamke akafa naye.

Mk 12:23 SUV

Basi, katika kiyama atakuwa mke wa yupi katika hao? Maana wote saba walikuwa naye.

Mk 12:27 SUV

Yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai. Hivyo mwapotea sana.

Mk 12:29 SUV

Yesu akamjibu, Ya kwanza ndiyo hii, Sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy