YouVersion Logo
Search Icon

Mk 12:1, 2, 3, 4, 5, 6, 7, 8, 9, 10, 11

Mk 12:3 SUV

Wakamtwaa, wakampiga, wakamtoa nje, hana kitu.

Mk 12:4 SUV

Akatuma tena kwao mtumwa mwingine, na huyo wakamtia jeraha za kichwa, wakamfanyia jeuri.

Mk 12:5 SUV

Akamtuma mwingine, huyo wakamwua; na wengine wengi, hawa wakiwapiga na hawa wakiwaua.

Mk 12:7 SUV

Lakini wale wakulima wakasemezana, Huyu ni mrithi; haya, na tumwue, na urithi utakuwa wetu.

Mk 12:8 SUV

Wakamkamata, wakamwua, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu.

Mk 12:10 SUV

Hata andiko hili hamjalisoma, Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni.

Mk 12:11 SUV

Neno hili limetoka kwa Bwana, Nalo ni ajabu machoni petu?

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy