YouVersion Logo
Search Icon

Mk 11:1, 2, 3, 4, 5, 6, 7, 8, 9, 10, 12, 13, 14, 15, 16, 17, 18, 19, 20, 21, 22, 23, 24, 25, 26

Mk 11:3 SUV

Na mtu akiwaambia, Mbona mnafanya hivi? Semeni, Bwana anamhitaji na mara atamrudisha tena hapa.

Mk 11:4 SUV

Wakaenda zao, wakamwona mwana-punda amefungwa penye mlango, nje katika njia kuu, wakamfungua.

Mk 11:5 SUV

Baadhi ya watu waliosimama huko wakawaambia, Mnafanya nini kumfungua mwana-punda?

Mk 11:6 SUV

Wakawaambia kama Yesu alivyowaagiza, nao wakawaruhusu.

Mk 11:7 SUV

Wakamletea Yesu yule mwana-punda, wakatandika mavazi yao juu yake; akaketi juu yake.

Mk 11:8 SUV

Watu wengi wakatandaza mavazi yao njiani, na wengine matawi waliyoyakata mashambani.

Mk 11:10 SUV

umebarikiwa na ufalme ujao, wa baba yetu Daudi. Hosana juu mbinguni.

Mk 11:12 SUV

Hata asubuhi yake walipotoka Bethania aliona njaa.

Mk 11:14 SUV

Akajibu, akauambia, Tangu leo hata milele mtu asile matunda kwako. Wanafunzi wake wakasikia.

Mk 11:16 SUV

wala hakuacha mtu achukue chombo kati ya hekalu.

Mk 11:19 SUV

Na kulipokuwa jioni alitoka mjini.

Mk 11:20 SUV

Na asubuhi walipokuwa wakipita, waliuona ule mtini umenyauka toka shinani.

Mk 11:21 SUV

Petro akakumbuka habari yake, akamwambia, Rabi, tazama, mtini ulioulaani umenyauka.

Mk 11:22 SUV

Yesu akajibu, akamwambia, Mwaminini Mungu.

Mk 11:26 SUV

Lakini kama ninyi hamsamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu.]

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy