YouVersion Logo
Search Icon

Mk 10:32, 33, 34, 35, 36, 37, 38, 39, 40, 41, 42, 43, 44, 45, 46, 47, 48, 49, 50, 51, 52

Mk 10:36 SUV

Akawaambia, Mwataka niwafanyie nini?

Mk 10:41 SUV

Hata wale kumi waliposikia wakaanza kuwakasirikia Yakobo na Yohana.

Mk 10:43 SUV

Lakini haitakuwa hivyo kwenu; bali mtu anayetaka kuwa mkubwa kwenu, atakuwa mtumishi wenu

Mk 10:44 SUV

na mtu anayetaka kuwa wa kwanza wenu, atakuwa mtumwa wa wote.

Mk 10:48 SUV

Na wengi wakamkemea ili anyamaze, lakini alizidi kupaza sauti, Mwana wa Daudi, unirehemu.

Mk 10:49 SUV

Yesu akasimama akasema, Mwiteni. Wakamwita yule kipofu, wakamwambia, Jipe moyo; inuka, anakuita.

Mk 10:50 SUV

Akatupa vazi lake, akaruka, akamwendea Yesu.

Mk 10:52 SUV

Yesu akamwambia, Enenda zako, imani yako imekuponya. Mara akapata kuona; akamfuata njiani.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy