YouVersion Logo
Search Icon

Mt 9:1, 2, 3, 4, 5, 6, 7, 8

Mt 9:1 SUV

Akapanda chomboni, akavuka, akafika mjini kwao.

Mt 9:3 SUV

Na tazama, baadhi ya waandishi wakasema nafsini mwao, Huyu anakufuru.

Mt 9:4 SUV

Naye Yesu, hali akijua mawazo yao, akasema, Mbona mnawaza maovu mioyoni mwenu?

Mt 9:5 SUV

Kwa maana rahisi ni lipi, ni kusema, Umesamehewa dhambi zako, au ni kusema, Ondoka, uende?

Mt 9:7 SUV

Akaondoka, akaenda zake nyumbani kwake.

Mt 9:8 SUV

Makutano walipomwona, walishikwa na hofu, wakamtukuza Mungu, aliyewapa watu amri ya namna hii.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy