Mt 8:23, 24, 25, 26, 27, 28, 29, 30, 31, 32, 33
Mt 8:24 SUV
Kukawa msukosuko mkuu baharini, hata chombo kikafunikizwa na mawimbi; naye alikuwa amelala usingizi.
Mt 8:31 SUV
Wale pepo wakamsihi, wakisema, Ukitutoa, tuache twende, tukaingie katika lile kundi la nguruwe.