YouVersion Logo
Search Icon

Mt 6:1, 2, 3, 4, 5, 7, 8, 9, 10, 11, 12, 13, 14, 15, 16, 17, 18, 19, 20, 21, 22, 23

Mt 6:4 SUV

sadaka yako iwe kwa siri; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.

Mt 6:8 SUV

Basi msifanane na hao; maana Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi hamjamwomba.

Mt 6:9 SUV

Basi ninyi salini hivi; Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje

Mt 6:10 SUV

Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni.

Mt 6:11 SUV

Utupe leo riziki yetu.

Mt 6:12 SUV

Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.

Mt 6:14 SUV

Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi.

Mt 6:15 SUV

Bali msipowasamehe watu makosa yao, wala Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu.

Mt 6:17 SUV

Bali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe uso

Mt 6:19 SUV

Msijiwekee hazina duniani, nondo na kutu viharibupo, na wevi huvunja na kuiba

Mt 6:21 SUV

kwa kuwa hazina yako ilipo, ndipo utakapokuwapo na moyo wako.

Mt 6:22 SUV

Taa ya mwili ni jicho; basi jicho lako likiwa safi, mwili wako wote utakuwa na nuru.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy