YouVersion Logo
Search Icon

Mt 10:16, 17, 18, 19, 20, 21, 22, 23, 24, 25, 26, 27, 28, 29, 30, 31, 32, 33, 34, 35, 36, 37, 38, 39, 40, 41, 42

Mt 10:17 SUV

Jihadharini na wanadamu; kwa maana watawapeleka mabarazani, na katika masinagogi yao watawapiga

Mt 10:20 SUV

Kwa kuwa si ninyi msemao, bali ni Roho wa Baba yenu asemaye ndani yenu.

Mt 10:24 SUV

Mwanafunzi hampiti mwalimu wake, wala mtumwa hampiti bwana wake.

Mt 10:29 SUV

Je! Mashomoro wawili hawauzwi kwa senti moja? Wala hata mmoja haanguki chini asipojua Baba yenu

Mt 10:30 SUV

lakini ninyi, hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote.

Mt 10:31 SUV

Msiogope basi; bora ninyi kuliko mashomoro wengi.

Mt 10:32 SUV

Basi, kila mtu atakayenikiri mbele ya watu, nami nitamkiri mbele za Baba yangu aliye mbinguni.

Mt 10:33 SUV

Bali mtu ye yote atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni.

Mt 10:34 SUV

Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.

Mt 10:35 SUV

Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu

Mt 10:36 SUV

na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.

Mt 10:38 SUV

Wala mtu asiyechukua msalaba wake akanifuata, hanistahili.

Mt 10:39 SUV

Mwenye kuiona nafsi yake ataipoteza; naye mwenye kuipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ataiona.

Mt 10:40 SUV

Awapokeaye ninyi, anipokea mimi; naye anipokeaye mimi, ampokea yeye aliyenituma.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy