YouVersion Logo
Search Icon

Lk 8:1, 2, 3, 4, 5, 6, 7, 9, 10, 11, 12, 13, 14, 15, 16, 17, 18, 19, 20, 21

Lk 8:4 SUV

Mkutano mkuu ulipokutanika, na wale waliotoka kila mji wakimjia, alisema kwa mfano

Lk 8:6 SUV

Nyingine zikaanguka penye mwamba; zilipoanza kumea zikakauka kwa kukosa rutuba.

Lk 8:7 SUV

Nyingine zikaanguka kati ya miiba, na miiba ikamea pamoja nazo ikazisonga.

Lk 8:9 SUV

Wanafunzi wake wakamwuliza, Maana yake nini mfano huo?

Lk 8:11 SUV

Na huo mfano, maana yake ni hii; Mbegu ni neno la Mungu.

Lk 8:19 SUV

Wakamwendea mama yake na ndugu zake, wasiweze kumkaribia kwa sababu ya mkutano.

Lk 8:20 SUV

Akaletewa habari akiambiwa, Mama yako na ndugu zako wamesimama nje wakitaka kuonana nawe.

Lk 8:21 SUV

Akawajibu akasema, Mama yangu na ndugu zangu ndio hao walisikiao neno la Mungu na kulifanya.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy