YouVersion Logo
Search Icon

Lk 7:11, 12, 13, 14, 15, 16, 17, 18, 19, 20, 21, 22, 23, 24, 25, 26, 27, 28, 29, 30, 31, 32, 33, 34, 35

Lk 7:13 SUV

Bwana alipomwona alimwonea huruma, akamwambia, Usilie.

Lk 7:15 SUV

Yule maiti akainuka, akaketi, akaanza kusema. Akampa mama yake.

Lk 7:17 SUV

Habari hii yake ikaenea katika Uyahudi wote, na katika nchi zote za kando kando.

Lk 7:18 SUV

Wanafunzi wa Yohana wakamletea habari za hayo yote.

Lk 7:23 SUV

Naye heri mtu ye yote asiyechukizwa nami.

Lk 7:26 SUV

Lakini, mlitoka kwenda kuona nini? Nabii? Naam, nawaambia, na aliye zaidi ya nabii.

Lk 7:31 SUV

Bwana akasema, Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Nao wamefanana na nini?

Lk 7:33 SUV

Kwa kuwa Yohana Mbatizaji alikuja, hali mkate wala hanywi divai, nanyi mwasema, Ana pepo.

Lk 7:35 SUV

Na hekima imejulikana kuwa ina haki kwa watoto wake wote.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy