YouVersion Logo
Search Icon

Lk 6:1, 2, 3, 4, 5, 7, 8, 9, 10, 11, 12, 13, 14, 15, 16

Lk 6:2 SUV

Basi baadhi ya Mafarisayo wakawaambia, Mbona mnafanya lisilo halali siku ya sabato?

Lk 6:5 SUV

Akawaambia, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato.

Lk 6:11 SUV

Wakajawa na uchungu, wakashauriana wao kwa wao wamtendeje Yesu.

Lk 6:15 SUV

na Mathayo na Tomaso, na Yakobo wa Alfayo, na Simoni aitwaye Zelote

Lk 6:16 SUV

na Yuda wa Yakobo, na Yuda Iskariote, ndiye aliyekuwa msaliti.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy